Dr Thomas Kashililah, Katibu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola barani Afrika (CPA) akiwa katika mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya nchi za SADC, Nd Raj Khooblall wakati Dr Kashililah alipotembelea makao makuu ya Jukwaa hilo yaliyopo Windhoek, Namibia.
Dr Thomas Kashililah, Katibu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola barani Afrika ambae pia ni Katibu wa Bunge akiwa katika mazungumzo na Katibu Bunge la Namibia, Bibi Panduleni Shimutwikeni.Dr Kashililah na ujumbe wake wako Namibia kwa ziara maalum ya ukaguzi wa maandalizi ya mkutano mkuu wa CPA Afrika unaotarajiwa kuhudhuriwa na wabunge zaidi ya 500 toka matawi 63 ya Chama hicho barani Afrika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...