Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Bw. Juma Kasim Tindwa akizungumza katika majadiliano ya ushirikiano kwa manufaa ya wote(Smart Partnership Dialogue) kwa watu wa kada mbalimbali kisiwani humo, (kushoto) ni Mkuu wa Idara ya Fedha na Utwala kutoka Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC),Bi. Oliva Vegulla (kulia mwisho) ni Mfanyabishara Bw. Ali Bakari na (katikati) ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara Zanzibar (ZBC), Mr Ali Vuai Haji.
Home
Unlabelled
Kusini Pemba wapewa somo kuhusu majadiliano kwa manufaa ya wote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...