Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (tnbc) Bw. Raymond Mbilinyi, akizungumza na washiriki mbalimbali mjini Unguja Visiwani Zanzibar wakati wa kuhitimisha majadiliano ya ushirikiano kwa manufaa ya wote (smart partnership dialogue) katika ngazi ya kanda ikiwa ni hatua ya kuelekea katika ngazi ya kitaifa, (katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dk. Idrisa Hija na mwisho (Kulia) nia Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Zanzibar Bw. Ali Vuai.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (tnbc) Bw. Raymond Mbilinyi, (kushoto) akifurahia jambo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Zanzibar Bw. Ali Vuai, wakati wa kuhitimisha majadiliano ya ushirikiano kwa manufaa ya wote (smart partnership dialogue) katika ngazi ya kanda ikiwa ni hatua ya kuelekea katika ngazi ya kitaifa. Majadiliano hayo yalifanyika huko Unguja Visiwani Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...