Makamu wa Rais wa TBF Ndg. Phares Magesa akiwa na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Albert Sokaitis mara baada ya mazungumzo ya kupanga mikakati ya kuendeleza Michezo wa Kakapu Tanzania, VIJANA wengi watafaidika na Mpango huu wa mafunzo yatakayalenga kunyanyua kiwango Cha Michezo nchini kupitia Kocha huyu. Kutokana Na mpango huu baadhi ya vijana wetu watapata nafasi za kwenda kusoma na kucheza kikapu katika vyuo via Marekani, Vijana wetu muwe tayari... Chamsingi Ni kuwa Na Uwezo Mzuri wa Michezo na pia kuzingatia masomo (shule).
Home
Unlabelled
Makamu wa Rais wa TBF akutana na Kocha Mkuu wa Kikapu Albert Sokaitis
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...