Home
Unlabelled
MICHANGO YA MAANDALIZI YA MAZISHI YA ALBERT MANGWEHA
Kamati ya maandalizi ya msiba / mazishi ya msanii ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha inapenda kutoa taarifa ya mchakati unaoendelea wa maandalizi ya mazishi, Kamati inahitaji michango yenu kwa ajili ya kufanikisha mazishi pale mwili wa marehemu utakapofika nchini Tanzani,kuanzia kuagwa kwa marehemu shughuli itakayofanyika jijini Dar es Salaam na kusafirishwa mjini Morogoro eneo la Kihonda kwa ajili ya Maziko.
Kamati inaomba wizara husika, mashirika, makampuni pamoja na watu binafsi kutoa michango yao katika kukamilisha jukumu la kumhifadhi katika nyumba yake ya milele ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mchango gani zaidi jamani?????, mbona tunataka kumega dili juu ya bega la mswahili?
ReplyDeleteclouds group washajitolea kuleta maiti, bongo records mil, 5 na mwingine sijui mil 5. KWELI MNATAKA SEMA MILIONI 10 HAZITOSHI KUPELEKA MAITI TOKA DAR-MOROGORO?????
ReplyDeleteKUFA KUFAAANA....
Hivi jina kumbe ni Mangweha manake siku zote mnaandika Mangwea.
ReplyDelete