Jumuia ya watanzania Wasabato walioko Marekani inawaalika katika mkutano mkubwa wa mwaka wa kiroho (TAUS Retreat 2013) utakaofanyika Houston TX. Wote mnawakaribishwa kujumuika nasi.

TAREHE ZA MKUTANO: July 11-14, 2013

MAHALI- Oak SDA School, 11735 Grant Road, HUSTON, TEXAS 77429 USA

MGENI RASMI: Mchungaji Lucas Nzungu wa Arusha University, Tanzania

Gharama za mkutano, chakula na hoteli (Holiday Inn) ni $292.50 kwa mtu aliye tayari ku’share’ chumba (double bed). Kwa wanaotaka chumba cha pekee (single bed), jumla yao ni $465. Kuna wafadhili kadhaa wanaoweza kusaidia malazi na chakula. Tafadhali ulizia kama unahitaji msaada huo.

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mmoja wetu- Msafiri Lugoe (TX) 281-760-6805; Jeoffrey Ngullu (PA) 267-582-6276; Shukrani Magoma (DC) 2020-607-1976. Asanteni sana na karibuni tubarikiwe pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...