Mpiganaji  Felix Mwagara akikata ndafu na mai waifu wake Lydia Mbonde katika mnuso wao mara baada ya kumeremeta  katika Kanisa Katoliki, Hai Mjini, Kilimanjaro.
 Felix na Lydia wakifungua muziki wakati wa mnuso wao katika Ukumbi wa Hai Garden, Papa Motel, mkoani Kilimanjaro.
 Mpiganaji Felix akiwasha mshumaa unaoashiria upendo wakati wa mnuso wa Send off kwa mchumba wake Lydia. Sherehe hiyo ilifanyika Mwenge Social Hall, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mpiganaji Felix Mwagara akipongezwa na wageni mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...