FAMILIA YA SYKES INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA  MZEE WAO ALLY KLEIST SYKES  (PICHANI) KILICHOTOKEA LEO MEI 19, 2013  KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN JIJINI NAIROBI, KENYA,  ALIKOKUWA AMELAZWA.

MSIBA UKO NYUMBANI KWA MAREHEMU MBEZI BEACH JIJINI DAR ES SALAAM. MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIWA KUWASILI JIJINI USIKU HUU.

MAZISHI YAMEPANGWA KUFANYIKA KESHO MEI 20, 2013 KATIKA MAKABURI YA KISUTU BAADA YA MWILI WA MAREHEMU KUSWALIWA KATIKA MSIKITI WA KIPATA WAKATI WA SWALAT ALAASIR.

HABARI ZIWAFIKIE NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI POPOTE PALE WALIPO.

إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Inna-na lillahi wa inna ilayhi raji'un.
Hakika sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na kwake tutarejea.
Surely we belong to Allah, and to Him shall we return.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2013

    Inna-na lillahi wa inna ilayhi raji'un.

    ReplyDelete
  2. Al MusomaMay 19, 2013

    Inna lillahi wa inna ilaihi raajiuun. May Allah accept his deeds and grant him a place in janna. We pray that Allah grants his surviving family patience and resilience. To Abdul, Araf and Kwemah - the ones I personally know - POLENI SANA.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 19, 2013

    Inna lillah wainna ilayhi rajioun.......tutakukumbuka daima mzalendo wa nchi hii.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2013

    Inna lillah wa Ina Ilayhi Rajioun, Inshallah Mwenyezi Mungu atamlaza Mzee wetu mahali pema peponi - Amin. SA

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 20, 2013

    Poleni sana Abraham na nduguzo katika kipindi hiki kigumu Mungu awape nguvu,tumuombee mzee wetu kwa Mwenyezi Mungu aipaumzishe roho yake kwa Amani ,Amen, G.E.N

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 20, 2013

    inna lillahi wa inna ilayhi rajiun, Muumba akuweke katika kundi la waja wema

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 20, 2013

    May Lord Rest his Soul in Peace. Alikuwa Mzee Mwema sana. Amina

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 20, 2013

    Inna lillah wa Ina Ilayhi Rajioun

    US Blogger

    ReplyDelete
  9. Aisha AmiriMay 20, 2013

    Inna lillahi wa Inna ellayhi rajiun. May Allah accept all his good deeds and rest his soul in peace. Grant his family and loved ones the patience and good health to deal with this difficult event in their life.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 20, 2013

    Inna LILLA wa inna ILAIHI Raajiuu'n...ALLAh SWT amjaalie qauli thaabit, amng'arihie kaburi lake kwa jaha ya Mtume SAW na Quraan KAreem, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia, na amjaalie awe katika watu wa riadhil Janna Amin thumma Amin Amin Amin , AlhamduliLLAh ..Poleni sana wafiwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...