Redd’S Miss Arusha City Centre 2013, Nancy Moshi (katikati) akipunga mkono mara baada ya kutawazwa rasmi kuwa mshindi wa Taji hilo katika shindano lililofanyika hivi karibuni jijini Arusha. Nancy aliwashinda warembo wenzake 10 waliokuwa wakiwania nae taji hilo.wengine pichani ni mshindi wa pili Neema Kessy na wa tatu Glory Steven.
Warembo wa tano kati ya 11 waliokuwa wanawania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangwaza kufuzu hatua hiyo. Kutoka kushoto ni Minael Anderson, Neema Joel, Nancy Moshi, Neema Kessy na Glory Steven.
Warembo waliokuwa wakiwania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...