Home
Unlabelled
NEEMA ZAANZA KUMWAGIKA MTWARA, PINDA AZINDUA UJENZI WA KIWANDA KIKUBWA CHA SIMENTI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SIASA KAMA KAWA,KWANINI KIWANDA CHA GESI KISIWE HUKO KILA KITU D'SALAAM
ReplyDeleteMambo ya gesi hayo. Shemegi zangu wamakonde sasa tuanze kuchangamkia ajira kabla ya jamaa wale...watani wetu hawajavamia fursa zetu sisi tukabaki kuandamana.
ReplyDeleteby Observer
Kazi kwenu Wakazi wa Kusini!
ReplyDeleteAchieni viatu, mashati na soksi mikononi KWA UMACHINGA muwahi Mtwara kwenye ajira!
Vijana sasa mnajua nini la kufanya mkitaka kuletewa maendeleo mikoani kwenu :D
ReplyDeleteKiwanda cha cement uchafuzi wa mazingira (hewa) mnakumbuka lile vumbi la wazo tegeta? waliacha pale tu wakazi walipoenda mahakamani (serikali inatoa tu vibali bila kujali wananchi ), kazi nyingi zitakazopatikana hapo ni za vibarua tu....mwisho wa siku umaskini hautaisha.
ReplyDeleteNi chachu kwa watu wa Kusini kusoma zaidi, naamini mpaka take off ya kiwanda watu wanaweza kuwa na muda wa kuongeza ufahamu na elimu kupitia Technical Colleges, na pia Vyuo Vikuu, Twenzetuni Shule kazi zajaaaa
ReplyDelete