Maandamano ya Wafanyakazi yakiongozwa na bendi wakati wakipita
mbele ya mgeni Rasmi,Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga jana katika
uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe hizo zilipofanyika kimkoa.
Burudani za ngoma za
asili za kisukuma na nyimbo za taarabu kutoka kwa walimu zilifanikisha vilivyo.
Mwenyekiti wa TUICO Mkoa wa Shinyanga Bw.Fue Mrindoko akimkaribisha Mhe.Ali N. Rufunga kuzungumza na wafanyakazi waliofurika katika kiwanja cha Jamhuri mjini Kahama.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally Rufunga jana katika
uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe siku ya wafanyakazi duniani mei mosi.
Picha na Magdalena Nkulu, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...