Familia ya Marehemu  Acp (rtd) Bruno Damiani Matembo wa Ukonga, Dar es salaam, inatoa shukurani kwa wale wote walioshiriki kwa hali na mali katika kufanikisha msiba wa Baba yao Mpendwa Mzee Matembo (pichani) ambaye alilazwa katika nyumba yake ya milele Ukonga, jijini Dar es salaam.

Shukurani ziwafikie  Viongozi na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Viongozi wa dini walioongoza Misa ya kumuombea Marehemu, Madaktari na Wauguzi waliojitahidi kuokoa maisha  ya Mzee Matembo, Majirani na wana Ukonga 

Tutaendelea kukumbuka daima Baba yetu Mpendwa kwa kwamalezi bora uliyo kuwa umetupatia hatutakuangusha kamwe kwani hata wajukuu wako wameyafuata maelekezo yako uliyo kuwa una wapa yakuwa nanidhamu kwa watu Wote Kuipeda Nchi yetu na Kutii Serekali pamoja na Mamlaka zake 

BWANA AMETOA BWANA AMETWAA
JINA LAKE  LIHIMIDIWE 
AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...