Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akimkaribisha Balozi wa Ireland hapa Nchini Bi. Fionnula Giisennan  aliemtembelea Ofisi kwake Bungeni leo.

Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa katika na mazungumzo na Balozi wa Ireland hapa Nchini Bi. Fionnula Giisennan Ofisi kwake Bungeni leo.
Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa katika kikao cha pamoja na wajumbe wa kamati maalum iliyoundwa na Spika kuchunguza chanzo cha migogoro ya wananchi wa Mtwara kuhusu mgogoro wa gesi. Picha zote na Owen Mwandumbya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...