Marehemu Ernest Zulu 1957 - 2013

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Thomas Kashilillah anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Bwana Ernest Zulu aliyekuwa Afisa Habari Mkuu kilichotokea tarehe 23 Mei 2013 akiwa masomoni nchini Malaysia. 

Mwili wa marehemu umewasili leo tarehe 29 Mei 2013. Heshima za mwisho zitatolewa nyumbani kwa marehemu Dar es Salaam Ubungo-Kibangu tarehe 30 Mei, 2013 kuanzia saa tano asubuhi na mazishi yafanyika nyumbani kwao Peramiho, Songea tarehe 31 Mei 2013
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. Amina!

Dkt. Thomas Kashilillah
KATIBU WA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...