Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akiukaribisha Ujumbe toka Wizara ya Usalama wa Raia China katika Kikao cha pamoja na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi jijini Dar es Salaam.
Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kikao na Ujumbe wa Wizara ya Usalama wa Raia toka China.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi na mgeni wake, Naibu Waziri wa Usalama wa Raia wa China, Mhe. Yang Huanning, wakisaini Hati ya Ushirikiano wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Tanzania na Wizara ya Usalama wa Raia, China.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi na Naibu Waziri wa Usalama wa Raia wa China wakibadilishana Hati ya Ushirikiano wa Wizara zao.
Picha ya pamoja ya Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Ujumbe wa Wizara ya Usalama wa Raia toka China.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...