Idda Shizza (shoto) akiwa na swaiba yake Farida Nyamsogoro wakiwa na furaha mara baada ya kuhitimu  diploma ya ualimu wa sekondari
 Familia ya Idda Shizza,Pamoja na familia ya Farida Nyamsogoro wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya wanafunzi hawa kuitimu ualimu wa sekondari ngazi ya diploma katika chuo cha kigurunyembe
 Mdada wa libeneke la kaskazini Woinde Shizza (kati) akiwa na walimu wapya  mara baada ya kugradueti katika chuo cha ualimu wa sekondari Kigurunyembe kilichopo Morogoro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mmependeza sana! Hongereni na Pongezi za dhati kwa wana "MOTCO" wote kwa kuhitimu mafunzo yenu ya Ualimu. Kweli maendeleo, siku hizi Kigurunyembe kwa Majoho. Nakumbuka enzi za Mhaiki hakukuwa na mbwembwe nyingi. Ila mmependeza sana.Nawatakia kila la kheri na mafanikio mema walimu watarajiwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...