Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013 wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya mazoezi yao ya kila siku kujiandaa kuwania taji hilo hapo Mei 17,2013 katika Ukumbi wa Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar es Salaam.Warembo hawa wamejipanga kisawasawa huku kila mmoja akionyesha hali ya kuibuka kidedea siku hiyo.
Mwalimu wa Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013,Aneth John akitoa somo kwa Warembo wake mara baada ya kumaliza mazoezi ya awaki katika kambi yao iliopo katika Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...