Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013 wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya mazoezi yao ya kila siku kujiandaa kuwania taji hilo hapo Mei 17,2013 katika Ukumbi wa Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar es Salaam.Warembo hawa wamejipanga kisawasawa huku kila mmoja akionyesha hali ya kuibuka kidedea siku hiyo. 
Mwalimu wa Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013,Aneth John akitoa somo kwa Warembo wake mara baada ya kumaliza mazoezi ya awaki katika kambi yao iliopo katika Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...