Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongoza kikao cha kujadili masuala ya Sensa kwenye ukumbi wa TAMISEMI mjini Dodoma Mayy 29, 2013.Wa pili kulia ni Makamu wa Pili wa Rais SMZ,Balozi Seif Idd.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza (wapili kulia) , Naibu Waziri wa Kilimo , Chakula na Ushirika , Adam malima (kulia na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Angela Mabula wakiteta baada ya Waziri Mkuu,Kufunga semina ya waskuu wa mikoa na wilaya kuhusu usambazaji wa pembejeo , mjini Dodoma , May 29,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Angela Mabula baada ya Waziri Mkuu,Kufunga semina ya waskuu wa mikoa na wilaya kuhusu usambazaji wa pembejeo , mjini Dodoma , May 29,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...