WajumbewaBodiya SSRA wakiwa katika viwanja vya monyesho vya Nyerere Square mjini Dodoma kutoka kushoto ni Juma Muhimbi, Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Irene Isaka, Jayne Nyimbo na Kabeho Solo.
 Mkuu wa Kitengo cha Uhamasishaji cha SSRA, Sara Kibonde akifurahia jambo na Wakuu wa Mifuko ya GEPF, Daud Msangi na mfuko wa LAPF, Eliud Sanga.
 Meneja wa Uhusiano wa PPF, Lulu Mengele akimkaribisha mjumbe wa bodi ya SSRA, Kabeho Solo katika banda la PPF.
   Meneja Masoko wa GEP, Aloyce Ntukamazi akitoa maelezo ya shughuli na faida wazipatazo wanachama wa GEPF kwa wajumbe wa bodi ya SSRA
 Ofisa wa Uwekezaji wa PSPF, Hamidu Ngororo akiwaeleza wajumbe wa SSRA mradi wa nyumba za bei nafuu za wanachama zilizopo Dar es salaam, Mtwara, Tanga, Shinyanga na Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...