Katibu mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Techinojia Dkt. Forens Turuka (katikati) akisisitiza jamboa baada ya kumkabithi kitabu cha Majukumu na Mafanikio ya Wizara hiyo toka kuanzishwa kwake mpaka mwaka 2011, Mwenyekiti wa Taifa wa Tughe Dkt. Diwani Mruttu(wa pili kulia).Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Raslimali watu Bi Mazoea Mwera kwenye Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi ulifanyika mwishoni wa wiki jijini Dare s Salaam.
Katibu mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Techinojia Dkt. Forens Turuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo mwishoni mwa wiki. Mwenyekiti wa Taifa wa Tughe Dkt. Diwani Mruttu ( wapili kulia), Watatu kulia kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Utumishi , Bi. Mazoea Mwera.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...