Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2013

    Ankal! Bei ya madafu? Aah hili jina linaoneha dalili za kujidharau wenyewe. Any how siku hizi uzalendo unapimwa kwenye majukwaa kwa hiyo na tuendelee tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2013

    Utake usitake madafu ni madafu tu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 10, 2013

    Yaani nipo pamoja na wewe Anonymous uliyatangulia. Hii kweli ni kijidharau kwa kweli. Blog kubwa kama hii badala ya kuandika kiswahili fasaha mnatuandikia bei ya madafu jamani.... :(

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2013

    Kwani dafu ni kitu cha aibu???
    Inachomaanisha hapa ( tongue in cheek) kuwa Shilingi ya Tanzania ina thamani ya kutumika hapa nchini tu....kama vile kununua madafu toka Kigamboni!!! Huo ndio ukweli wenyewe hata ukiwa Mzalendo au la!
    Umeipata mkubwa?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2013

    Walahi tuna haja ya kujikejeli pesa ya Tz inashuka kutokana na umaskini wa nchi! Lazima kujua namna ya kuondokana na umasikini wa roho akili na mwili itokanayo na hawa mafisadi!
    Ukiona nchi inayoitwa nchi ya maskini kuna watu wana pesa dunia nzima hakuna na hizo zote zimenyonywa kwa malalahoi

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 10, 2013

    wewe unaelewa nini kuhusu madafu??@ anonymous 1

    maana unaweza ukawa unalaumu kumbe hata hujui madafu ni kitu gani..

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 10, 2013

    Duu hakika bei ya madafu inazidi kuwa mbaya!!! sasa Dollar na pound inashikilia dunia hakika! haya taratibu tutafika tu. Inshallah

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 10, 2013

    HIVI JAMANI TUNASEMA UCHUMI BONGO UMEKUWA MKUBWA MBONA PESA YETU INAZIDI KUDHALALIKA HIVYO AU NDIO SABABU YA KILA KITU KINAUZWA KWA DOLLRE ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...