Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo ambaye pia ni mjumbe wa NEC Dkt Fenella Mukangara akibidhi vifaa vya michezo kwa Katibu wa UWT kata ya Ubungo Bi. Rose Ndunguru.Vifaa hivyo vimetokana na ombi maalum kwa ajili ya ligi ya mpira wa Pete inayojulikana kama Rose Wasiri Cup.Mashindano hayo yameanza leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vilivyoko Ubungo Msewe jijini Dar es Salaam.Jumla ya mipira tisa na seti mbili za jezi zimekabidhiwa.
Home
Unlabelled
DKT FENELLA MUKANGARA afungua Semina ya UVCCM Kinondoni na Kukabidhi Vifaa vya Michezo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ninapenda unavyotengeneza nywele zako mheshimiwa. Raiti wangejuwa baadhi ya siri: kama identity, afya nk. na hasa athari ya madawa wanayojitutika kichwani angalau wangeiga kwako au wangekuja hata usiku usiku tu kama Nicodemo na kukuuliza sababu zikufanyazo uonekane kama unavyoonekana. Sisi waafrika ni wazuri kama tulivyo.
ReplyDeleteNi kweli kabisa mdau wa kwanza, huyu mama anaendeleza mila na desturi za matunzo ya nywele ya kiafrika kwa akina-mama, and she looks beautiful with her various traditional hairstyles- twende kilioni imempendeza.
ReplyDeleteYes, she is beautiful, educated, good work, respectiful and self esteem. Keep it up mama.
ReplyDelete