Rais Jakaya Kikwete akiwa katika banda la HUAWEI wanakoonesha teknolojia ya kisasa ya TELEPRESENCE ambayo imeshaanza kutumika nchini
Rais Kikwete akisalimiana na wadau wa IT wa eDucation
Akiwa katika banda la Malaysia
Akikagua sehemu ya kukaa viongozi.
Kuna umuhimu wa kuwa serious tunapokuwa wenyeji wa mikutano kama hii. Jioni hii nimekuwa nafuatilia ufunguzi wa mkutano huu,ambapo nimeona mapungufu makubwa katika organisation ya event yenyewe, achilia mbali matumizi ya screens ndogo sana kwenye ukumbi ambazo ilikuwa ngumu kufuatilia picha zilizokuwa zinaonyeshwa.
ReplyDeleteZaidi nimesikitika kuona kuwa muheshimiwa alifanya ukaguzi wa mwisho, na bado such gaps could not be addressed before the start of the meeting.
There was a very poor coordination between organisers and master of ceremony.
Lini tutakuwa serious jamani?
Jk, usisahau matumizi kwa a shule za kata!
ReplyDeleteUshaur wangu n tuendelee hv hv kama tulivyojiweka vizur kwa ajili ya wagen wetu na hii imenifumgua macho kwamba tunaweza ila ni kutoamua kusimamia taratibu ambazo tulijiwelea wenyewe. Tuendelee kuwa wasaf wa jj letu, usalama uimarike n.k
ReplyDeleteNimesikia Uhuru Kenyatta nae yumo.Hivi kunauwezakano wa Kenyatta kuonana na Rais Obama for handshake photo, that will be a score for Kenyatta.Yeye ndio sababu ya Rais Obama kuikacha Kenya.
ReplyDelete