Mhe. Kedikilwe akiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. |
Mhe. Membe akimkaribisha nchini Mhe. Kedikilwe mara baada ya kuwasili. |
Mhe. Kedikilwe akikagua Gwaride la Heshima. |
Mhe. Kedikilwe na Mhe. Membe wakifurahia burudani iliyokuwepo uwanjani hapo kwa mapokezi. |
Mazungumzo yakiendelea. |
Ole Naiko ni wa Tatu kushoto (sio wa pili kushoto)
ReplyDeleteSamahani unamaanisha wa tatu kulia, au unasema wa tatu kushoto picha ya kwanza juu. Kama jibu ni ndiyo, hakuna kosa hapo. Ni kama vile ubishi wa glass ni half empty au half full. Nawasilisha
ReplyDelete