Mhe. Spika, Anne Makinda akiwa na Mama Maria Nyerere, Waziri Mkuu Mstaafu, Ndg. John Samweli Malecela na Balozi wa Tz nchini Ug, Ndg. Komba Wakisubiria kuanza kwa ibada hiyo maalumu iliyofanyika Juni 1, Namgongo, nchini Uganda.
Mhe. Spika katika picha ya pamoja na mgeni rasmi na Viongozi wa kanisa hilo
Mhe. Spika akiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Margaret Nantongo Zziwa, baada ya kupanda miti ya kumbukumbu.
Mhe. Spika akishiriki ibada hiyo maalumu iliyofanyika Namgongo nchini Uganda, pembeni yake ni Waziri wa Nchi ya Uganda, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi maalumu, Bi. Tarsis Kabwegyele na Mama Maria Nyerere.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2013

    nyerere! nyerere! nyerere tumechoka sasa ah!

    Hivi nchi hakuna mambo mengine zaidi ya nyerere?!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 03, 2013

    data nzuri kwa sisi wenye fikra.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 03, 2013

    TANU ilianza mwaka 54, nani aliyeanzisha MWALIMU NYERERE, amba TANU hiyoo hiyoo hiyoo.

    Ndugu Julius Kambarage Nyerere, si kama tu ni kiongozi mkuu wa mapinduzi, bali pia ni mwalimu.....
    NYERERE NYERERE NYERERE NYERERE OYEEEEEEEE.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...