Mjumbe wa NEC Phares Magesa akisalimiana na Mwenyekiti wa WAZAZI Temeke mama Sophia Kinega ambaye pia in Mwenyekiti wa TEWO Saccos mara baada ya mazungumzo yenye lengo la kusaidia kuimarisha Saccos hiyo kwa miradi ya kiuchumi kwa faida ya Watanzania wote. UMOJA NI USHINDI !!!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...