Na Abdulaziz Video
Shindano la kumsaka Mwenye kipaji kwa wasanii wasiosikika kanda ya Kusini limefanyika Usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa NR Resorts, Nachingwea.  Jumla ya washiriki 26 toka  Lindi,Masasi,Mtwara,Ruangwa,Liwale na Nachingwea.
 Shindano hilo ambalo limeandaliwa na Ernest Nyambina wa Nr Resorts linaendeshwa chini ya Msema Chochote Fadhili Liwaka(MC Liwaka) ambae pia ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM.
Wasanii wakionesha vipaji
Msanii akiwa katika miondoko ya kusini
Meza kuu ikifuatilia mpambano huo
Mashabiki kibao
Nyota wa Kusini akisakwa kwa udi na uvumba
Juu na chini ni washindani katika mpambano huo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2013

    Unajua jana jioni nilikuwa naangalia kipidi cha televizioni hapa UKerewe,na kilikuwa ni mashindano ya Britain Has Talent. Nikawaza hivi hipi usakaji wa talent huko bongo. And today I see this.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 01, 2013

    UNCLE NAOMBA HIZI PICHA UZISAVE KTK KABRASHA LAKO, UNAONA SASA HVI WALIVYO?? ANGALIA BAADEN WAKIFANIKIWA UTAKUTA WAMEVAA MLEGEZO, FULL KUBANA PUA NA KUWEKA HERENI. HAHAHAHA

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 01, 2013

    Meza kuu mmetisha...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...