Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NBC na pia Mkuu wa Hazina wa Benki hiyo, Pius Tibazarwa (wa pili kushoto), Mkuu wa Kitengo Huduma za Kibenki kwa kufuata sheria za Kiislamu (NBC Islamic Banking), Yassir Masoud (kulia), Mkuu wa Huduma za Rejareja, Mmoloki Legodu (wa pili kulia) na Naibu Mufti, Ali Muhidini Mkoyogore wakizindua promosheni ya pili ya Hija ya benki ya NBC jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Kitengo Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu (NBC Islamic Banking), Yassir Masoud (kulia) akizungumza wakati wa uzinduzi wa promosheni ya pili ya Hija kwa wateja wake jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NBC na pia Mkuu wa Hazina wa Benki hiyo, Pius Tibazarwa na Mkuu wa Huduma za Rejareja, Mmoloki Legodu.
Mmoja wa washindi wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Hija ya NBC, Hamisi Hamza Mwanga (kushoto) akizungumza kuhusu safari yao ya kwenda hija mjini Makkah ambayo yeye na mama yake walikwenda kwa gharama za NBC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...