Home
Unlabelled
PUNDA WAKIWA MALISHONI JIJINI TANGA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Usafiri wa Punda, ama Punda kama Kitendea Kazi (Mode of transportation and work force).
ReplyDeleteHii ibaki kama sehemu ya historia na sehemu ya ridhaa na kama mtu kujifurahisha.
Haiwezekani nchini Tanzania tukiwa na ziada ya Gas, Uranium ,Coal pia Oil baharini tuwe kama Karne ya 12 badala ya kupita Karne ya 21 kwa kutumia mnyama?
itabidi niende tanga nikawaona punda toka nizaliwe sijawahi kuwaona punda halafu ndo niko majuu mungu wangu ndo walivyo hivi
ReplyDeleteJamani Tanga, na kwengineko Tanzania, huu utamaduni wa kuwaachia wanyama kijilisha wenyewe mijini tumeotowa wapi? Au ndi tumo kumpromote haki za wanyama baada ya kushindwa kwenye haki za binaadamu?
ReplyDeleteSio lazima wawe wameachiwa inawezekana wamekata kamba. Labda tuache utamaduni huo lakini wanyama bado wanatumika sana maana hatujatembea lakini ni kawaida kuwaona askari wapanda faras! Af penginepo wakitunzwa vizuri na kutumiwa kwa safari fupi fupi, na kama wataweza kuchunga jinsi wanavyokwenda haja, inaweza ikawa sababu nyingine ya kutunza mazingira kutoka na uchomaji wa mafuta ya gari na pia kupunguza gharama za mafuta.
ReplyDeleteMimi wananikumbusha kitu kingine, dagaa la punda. Kipindi nilipohamia rasmi Tanga mjini 1989 nikitokea kijijini tulikuwa tunakula sana dagaa lililokuwa likitembezwa na mchuuzi mwenye kutumia punda pale barabara ishirini kigutu!
sesophy
Wengi wa wachangiaji nadhani hawaelewi dhima ya ujumbe huu wa picha ya punda ktk hiyo bustani,nalisema hili hasa baada ya kusoma maoni yao.Hali hii ya kuruhusu wanyama/mifugo sehemu ambazo haziruhusiwi imekuwepo kitambo sana Tanzania na bado haikomi licha ya kuwahi kupitishwa maamuzi ya kukamata na kuitaifisha mifugo hiyo.Nilishawahi kuona video moja ndani ya ufukwe wa coco beach mmasai akipita na ngombe, jamani hii kali kwelikweli hasa nikiangalia huku nje nilipo kwa sasa wenzetu wanavyoburudika fukweni kisha mtu anapitisha ngombe????sijui kama angeeleweka, ila kwetu ni jambo la kawaida na ndio maana hata hao punda hapo hakuna aliyestuka nao.
ReplyDeleteMpiga picha punda wako wapi hapo? Mimi naona watu watatu. Mmoja mwanaume kasimama shoto barabarani, wawili wanawake wako bustanini tayari. Kwa mbali sana kuna kiumbe wa nne anaonekana kapanda chombo fulani. Swali Je, huyu ni kiumbe gani? na amepanda chombo gani.
ReplyDeleteHiyo ndiyo TANGA.
Profesa.
Sasa Profesa Mdau wa 6 hapo juu ndio tuseme nini?
ReplyDeleteWewe unataka kuwatisha watu kuwa Punda hawaonekani hapo?
Labda kumputer yako ina Kimeta haionyeshi picha sawasawa.
Hata mimi namuunga mkono Profesa, kweli hakuna punda.
ReplyDelete