Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe , Katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa Ban-Ki Moon akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa Afrika wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa tano wa TICAD jijini Yokohama leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa tano wa TICAD unaofanyika Mjini Yokohama, Japan, leo. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...