Mrembo alieshikilia taji la Redd's Miss Arusha 2013,Glory Stephen  akipungia watu waloingia kuangalia kinyanganyiro hicho mara baada ya kutangazwa mshindi na nafasi ya pili ikiwa imeshikiliwa na Nance Mushi
 Muaandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini Faustin Mwandago akiwa anawapongez warembo walioshinda kinyanganyiro cha Arusha na kuwaambia wote waliongia tano bora anawapa nafasi ya kushiriki kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini
 mgeni Rasmi wa sherehe za kumsaka mlibwende wa Arusha (Redd's Miss Arusha)John  Mongela  katikati afisa utamaduni wa jiji la Arusha akifuatia wa kwanza  kulia ni muaandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini Mwandago
Warembo waliongia katika hatua ya tano bora Redd's miss Arusha wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutanganzwa wa shindi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...