Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongella (wa pili kushoto) akimkabidhi mjasiliamali,Veronica Tarimo Mashine ya kusaga  vyakula vya kuku wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku za wajasiliwamali wa Safari Lager Wezeshwa  kanda ya Kaskazini ilifanyika katika viwanja vya General Tyre Arusha mwishoni mwa wiki.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Meneja mauzo wa Kanda  ya Kaskazini, Wilderson Kitio.
Mjasiliamali,Judith Tarimo(kushoto) akiangalia zawadi yake mara baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongella(wa pili kulia) wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku za wajasiliwamali wa Safari Lager Wezeshwa  kanda ya Kaskazini ilifanyika katika viwanja vya General Tyre Arusha mwishoni mwa wiki.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongella ( kushoto) akimkabidhi mjasiliamali,Joyce Mmali Mashine ya kusaga   wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku za wajasiliwamali wa Safari Lager Wezeshwa  kanda ya Kaskazini ilifanyika katika viwanja vya General Tyre Arusha mwishoni mwa wiki.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Meneja mauzo wa Kanda  ya Kaskazini, Wilderson Kitio.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...