Askari polisi wa jiji la Accra wakiongoza na kuhakikisha usalama wa washiriki kutoka nchi mbalimbali za Afrika zipatazo 20 wakati wa Maandamano na mbio fupi kuadhimisha Siku ya Utumishi wa Umma Barani Afrika katika mtaa  Mkuu wa Opera, maarufu kwa jina la High Street Opera Square Ministries, jijini Accra
 Soko maarufu la Makola jijini Accra bidhaa zikiwa zimepangwa kila kona.
 Kariakoo ya Ghana!!, maarufu kama MAKOLA pilikapilika za wachuuzi na wanunuzi zikiendelea kwa mbali kulia kule ni madafu ya kukata kiu
moja ya bango la  maduka ya bidhaa za Elekroniki sokoni MAkola jijini Accra likiwa na baadhi ya maneno kama  ya Kiswahili kwa kutohoa kutoka lugha ya Kiingereza, ubunifu huo!!Picha na mdau Florence Lawrence

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 23, 2013

    anko hata Zanzibar kuna'KWALITY SUPERMARKET'

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...