Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge Mhe. William Lukuvi akipata maelezo kutoka wa Josephine Mwakapugi kuhusu huduma zipatikanazo katika simu za kiganjani za TTCL "SMART PHONE" pamoja na punguzo kubwa la bei ya Intarnet kwa simu zenye waya na zisizotumia waya "wireless".
Waheshimiwa wabunge wakipata maelezo kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akisikiliza maelezo kutoka kwa Bi. Sikitu Mwanakatwe kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na TTCL.
Naibu waziri wa Nishati na madini Mheshimiwa Steven Masele akiweka saini katika kitabu cha wageni baada ya kupata maelezo kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na TTCL.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...