Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika, akijibu maswali ya wabunge wakati wa semina juu ya wajibu wa kamati za Bunge na Wabunge kupambana na rushwa, Semina iliyoandaliwa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na Shirika la Mandeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), iliyofanyika Dodoma juzi.
Mkuu wa Kitivo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii(dean of furcuty Arts and Social Science) kutoka chuo Kikuu cha Dodoma, Davis Mwamfupe, akiwakilisha mada kwa Wabunge juu ya wajibu wa kamati za Bunge na Wabunge wa kupambana na rushwa, Semina iliyoandaliwa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na Shirika la Mandeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), iliyofanyika Dodoma juzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 08, 2013

    Wapewe pia semina juu ya "anger management"!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2013

    HAPA SIELEWI WAJAMENI - WANAFUNDISHWA JUU YA RUSHWA - KUWA WALARUSHWA HODARI - KUONGEZA KIWANGO CHA RUSHWA WANAYODAI/KUPOKEA? AU NI KUPAMBANA NA KUEPUKA RUSHWA?
    MNIFAFANULIE MWENZENU SHULE IMENIPIGA CHENGA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...