Mbwa akiwa amepakiwa juu ya Carrier ya gari maeneo ya Msamvu roundabout, Morogoro. Wadau wa Haki za Wanyama mnasemaje? By Mdau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2013

    kwani kuna tatizo gani hapo?. Maana naona wameweka meza mbele kumkinga na upepo. Si kitu cha ajabu kabisa maana ng'ombe na wanyama wengine husafirishwa kwa njia mbaya zaidi nchini kama kwenye malori ya wazi na mabehewa ya wazi tu wangeanzia huko kwanza

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 27, 2013

    Mateso makubwa hata wewe wajua, tuelimishane je naniachukue hatua dhidi ya ukatili huu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 27, 2013

    Hapa sioni kikikukwa kwa haki za wanyama... mbwa ni mlinzi, hivyo hapa amewekwa alinde mizigo.. kuna ubaya gani?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 27, 2013

    Mbona utaji jina la mmiliki wa gari hii ! Ankal bwana , Wewe unajua gari hili ni la Mhe.mwenyekiti wa kijiji
    Bw.Mjengwa alikuwa safarini Iringa kwa ajili ya tambiko za kimila

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 27, 2013

    acha umbea na wivu wa kike, ulitaka asafirishwe vipi?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 27, 2013

    Ohooo!

    Ile tu picha hii ikifika Makao Makuu ya Haki ya Wanyama huko Uswisi huyo mwenye gari atakiona cha mtema kuni!

    Ni lazima atatafutwa tena na Mawakili wa Wanyama atasafirishwa na atafikishwa kwenye sheria huko Majuu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 27, 2013

    Haki za wanyama; tungali zetu hazijapatikana? Si bora huyo yuko ktk cage! Wamama na watoto wanaozurura mijini kuokota ktk pipa za uchafu; wamama wanaofanya kazi kuliko punda vijijini, kutembea maili nyingi kuteka maji, kuni!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 27, 2013

    Muulize Mitt Romney aliogombania urais US na Obama alitoa kali kama hii ikawa gumzo kwenye campaign

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 27, 2013

    Umemuharibia sasa!!huyu mbwa kazamia gari baada ya kuona nyumba ya tajiri yake jiko limenuna!

    ReplyDelete
  10. huyu Annoymous hapa juu aliyesema ..wivu wa Kike... Alikuwa mwanamume au mwanamke hapo zamani?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 28, 2013

    sasa mlitaka huyo mbwa akae na hao abiria humo ndani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...