Meneja wa Bia ya Safari lager,Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza tarehe na siku ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliochaguliwa kwenye mpango wa "Safari lager Wezeshwa",wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa Mchakato wa Kuwapata wajasiliamali wa Safari Lager Wezeshwa,Joseph Migunda akizungumzia ushiriki wa wajasiliamali katika zoezi hilo litakalofanyika siku ya jumapili kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo akionyesha sehemu ya vifaa vitakavyogaiwa kwa wajasiliamali.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...