Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akikagua gwaride la wahitimu kozi namba 20 ya mwaka 2013 ya Uongozi ngazi za juu kwa maafisa wa Magereza. Sherehe hizo zimefanyika katika chuo cha maafisa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akimvisha cheo cha Mrakibu Msaidizi wa Magereza, Hamza Abdalla kwa niaba ya wahitimu wa kozi namba 20 ya mwaka 2013 ya Uongozi ngazi za juu kwa maafisa. Sherehe hizo zimefanyika katika chuo cha maafisa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Gwaride la wahitimu kozi namba 20 ya mwaka 2013 ya Uongozi wa ngazi za juu kwa maafisa wa magereza likipita kwa mwendo wa haraka mbele ya mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (hayupo pichani). Dk Nchimbi aliyafunga mafunzo hayo katika chuo cha maafisa wa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na askari na maafisa magereza kabla ya kufunga mafunzo ya Uongozi wa ngazi za juu kwa maafisa wa magereza kozi namba 20 ya mwaka 2013. Sherehe hiyo ilifanyika katika Chuo cha Maafisa wa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...