Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto)  akimkaribisha Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas  katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao jijini  Dar es Salaam
 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili  kushoto) akiwakaribisha baadhi  ya wateja wao katika hafla ya futari  iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
 Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania  wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es  Salaamu
 Wateja wa Airtel Tanzania wakipakua  futari iliyoandaliwa  na kampuni hiyo jijini Dar se Salaam
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications, Bakari Machumu  (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil  Kolaso (kulia kwake) wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na Airtel  kwa wateja wake jijini Dar es Salaam
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Azam,  (wa pili  kushoto),  akichukua mlo wa futari pamoja na baadhi ya wateja wa  Airtel katika hafla iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wateja wake
jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania  wakifuturu katika hafla iiliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es  Salaamu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...