Harusi:Ndugu Antony David Mtavangu na Gema Nicholaus Temba wakila kiapo cha kuishi pamoja katika kanisa la Mtakatifu Peter ,siku ya Jumamosi tarehe 6 Julai 2013.
 Antony na mkewe Gema wakiwa wamependeza sana katika siku yao ya harusi.
 Antony Mtavangu na Bi. harusi Gema wakiwa kwenye picha ya pamoja na wasimamizi wao.
Saleh Saphy akizungumza kwa niaba ya wanafunzi waliosoma na Antony, chuo kikuu cha Mysore India, pamoja na kumtaka Antony maarufu kama 'Tony Yayo' kumtunza mkewe , vijana hao walimtakia maisha mema na kamwe kutomlisha mkewe 'Egg Puf '.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...