Pichani ni Mather Joseph mwenye umri wa mika 16. ni manfunzi wa Chuo cha ufundi cha Santer Peter Parish aliondoka nyumbani akielekea shuleni huko oysterbay akiwa amevalia ngua za shule sketi ya damu ya mzee na shati jeupe (uniform)

Tangu siku hiyo hajaonekana wala hatuna taarifa zozote tumemtafuta katika Hospitali zote za jijini Dar es Salaam, ikwemo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Mwananyamala,Amana na kwingineko lakini bado hatujafanikiwa kumpata.

Pia taarifa hizi zimeripotiwa katika kituo cha Polisi cha kigamboni ,kwa arb namba ,KGD/RB 5017/2013 kwa yeyote atakaye muona atoe tarifa katika kituo chochote kilicho[po karibu naye.

Nyumbani kwao ni Kigamboni kota za Jeshi la Wanamaji Kigamboni, Kabila lake ni msukuma.kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0718 038128.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2013

    mtafuteni mchumba wake atakuwa anajua kinachoendelea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...