Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Bandari mpya ya Abiria katika bandari ya Malindi Zanzibar leo.mchana (kushoto) Sheikh Said Salum Bakhresa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alitembelea sehemu mbali mbali katika ikiwemo IMMIGRATION DEPARTURES pamoja na Viongozi aliofuatana nao baada ya kugungua Bandari ya Abiria katika Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Injinia Mkuu wa Shirika la Bandari Mbarouk Hamad,(katikati) wakati alipotembelea sehumu ya Kuegeshea Meli ya Mizigo katika sherehe za ufunguzi wa Bandari mpya ya Abiria katika bandari ya Malindi Zanzibar leo.mchana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi zawadi mfadhili wa Kampuni ya ujenzi wa Bandari mpya ya Abiria,Sheikh Said Salum Bakhresa,katika sherehe za ufunguzi wa Bandari mpya ya Abiria katika bandari ya Malindi Zanzibar leo mchana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na waalikwa katika sherehe za ufunguzi wa Bandari mpya ya Abiria katika bandari ya Malindi Zanzibar leo.mchana,(kushoto) Naibu Waziri wa Mawasiliano na Miundimbinu Issa Haji Ussi (Gavu) Harison Mwakiembe Waziri wa Miundombinu Bara,na Sheikh Said Salum Bakhresa (kulia).[Picha na Ramadhan Othman, Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2013

    Muumba akulipe uliyewezesha kuwa na gati lingine lililozuri kwa manufaa ya Wazanzibar na wengineo kwa ujumla.

    Na ni mfano mzuri wa kuigwa kwa walio na uwezo wafanye hivyo kwa manufaa ya wananchi kwa ujumla

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2013

    Bakhressa wewe ni noma! Umejenga bandari!!! Hongera mkuu..

    ReplyDelete
  3. kupewa mwezi tu Bahresa amefanya kweli na watu walikuwa washaanza manung'uniko o`oh kapewa sasa mambo hayo na ile lounge ya kusubiria abiria na ile ya meli zake bab kubwa hata ulaya hamna kama hivi

    Sasa vipi kuhusu immigration wa nini tena au kwa ajjili ya meli za nje ya tanzania?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 09, 2013

    If a private company can afford to do this. What can a government afford to do?. Who benefits from our tax money??.

    Hongera Baharesa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 09, 2013

    Hongera SSB Mola akuzidishie

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 09, 2013

    Sasa mbona hoteli ya Bwawani mmemnyima na mambo mnaona anayaweza??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...