Ubalozi wa Tanzania Uingereza, ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media pamoja na Freddy Macha wanakuletea ziara fupi ya Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mh Jakaya Kikwete klabu ya Sunderland kujionea mwenyewe wanavyokumbatia na kuendeleza vipaji vya kucheza mpira kuanzia watoto wenye umri mdogo...
Home
Unlabelled
Jitihada za Rais Kikwete Kuendeleza Mpira Wetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...