Baadhi ya watoto  yatima wakipakuliwa futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam Jumatatu jioni
Wtoto  yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam 
Watoto  yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam 
 Yatima wakipata futari Ikulu
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto  yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam leo.Watot yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam walihudhuria futari hiyo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimbeba mmoja ya watoto  yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam leo.Watot yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam walihudhuria futari hiyo. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2013

    good stuff keep it up JK , lakini ni vyema kuwa na mpango maalum wa serikali kuweka mafungu ya fedha kwa vituo vyote vya yatima kila mwaka ktk bajeti ya serikali , ili neema hii isiwe kwa mara moja kwa mwaka , lakini angalau wapate uhakika wa lishe kila siku ya mungu , serikali inatenga fedha za mambo ya michezo kama mipira nk , jee ni kipi muhimu kucheza mpira au kuwahakikishia watoto kama hawa malezi na lishe bora? utajaza mwenyewe jibu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 17, 2013

    Money well spent!!!!! These kids actually need the food, congrats JK. I can't wait to see the next round.

    ReplyDelete
  3. Isiwe 'Once in a blue moon'. Hata hivyo inapendeza sana, inawapa faraja na kuwatia moyo watoto hao (Yatima) waliondokewa na wazazi wao. Ila jambo kama hili nadhani ingekuwa vizuri zaidi likawa linafanywa mara kadhaa kwa kila mwaka, nadhani itasaidia sana kuwa nao karibu zaidi watoto hao. Isiwe Ramadhan mpaka Ramadhan ndio tukumbuke kuna mayatima. Neema na fadhila za M/Mungu zipo siku zote kwa kadri tunavyojibidiisha kutenda mema.

    Tunakuomba Mwenyeez Mungu warehemu wazazi wa watoto hao na wote waliokwishatangulia kwako. Waghufirie kwa yote na uwapumzishe katika PEPO yako - AMEEN.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 17, 2013

    Msaada kwa watoto hawa uende mbali hadi ktk maswala ya kielimu,tusiishie kuwapa futari.Nakupongeza mtani wangu JK kwa moyo wako wa huruma,keep it up!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 17, 2013

    Ni Vema vema sana hawa ndio wahitaji na Mungu atakupa baraka tele sio kufuturisha matajiri watu na uwezo wao kisa ni mwezi mtukufu wa ramadhani, JK nakusihi sana futurisha tu makundi yenye uhitaji kama hawa tu upate rehema na thawabu tele mbele za muumba wetu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 17, 2013

    Hongera Hon.JK hawa ndio hasa wa kuwafutarisha.Mungu akujaze kila la kheri AMIN

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 17, 2013

    MUNGU Amzidishie.
    Feeding of yatima is a recurring theme in the Quran karim, and during the holy month of Ramadhan we are always reminded to look after those less fortunate than ourselves.You don't have to be a muslim to gain God's favour during this month
    Ibrahim

    ReplyDelete
  8. Kibiriti ngomaJuly 17, 2013

    hongera JK, wastahiri pongezi kwa kupata muda na kukaa na hawa watoto wamefarijika sana, Mwenyezi Mungu akujaze kheri. nasi watanzania twatakiwa kuwa karibu na yatima hawa, ni watoto wetu sote malezi ni yetu sote,tusitupiane lawama kwamba malezi ni jukumu la fulani, tujitoe kuwasaidia hawa, thumni yako ni ya kubwa sana kwa yatima, wasaidie upate thawabu zako!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 17, 2013

    Hongera Mheshimiwa Rais. Mwenyezi Mungu akusamehe pale unapoteleza na ubarikiwe katika kazi zako.

    Unaonaje Mheshimiwa Rais ukafanya yafuatayo kusaidia mayatima:

    - kuanzisha taasisi ya serikali itakayohusika na masuala ya watoto yatima
    - ku rais funds kwa ajili ya kujenga kitega uchumi ambacho kitaendesha taasisi hiyo

    ReplyDelete
  10. Well done even once in a year. It is heartening!!

    ReplyDelete
  11. I am impressed. It takes an effort and inner will to do this continually. God bless you

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 17, 2013

    welldone Mr President kikwete.

    utakumbukwa kwa mengi saana na
    hili litakuwa mojawapo ni mfano
    wa kuigwa na wengine si chakula
    tuu lakini upendo uliokuwa nao usio na ubaguzi kwa wananchi wote wasiojiweza na wasio na uwezo.

    mikidadi-denmark

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 17, 2013

    allah akuzidishie kila la kheir Rais wetu J K, Allah akufanyie wepesi mambo yako na kazi zako,
    namwomba Allah atupokelee swaum zetu.
    Ameen.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 18, 2013

    Hongera sana Rais wetu kipenzi, nakukubali sana Rais JK, Inshaa'allah M'Mungu akuzidishie AMEEN

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...