Baadhi ya mashabiki wakiwa na furaha kuburudishwa na mwanamuziki Jose Chameleone.

Kwa picha zaidi bofya link hii chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2013

    Tanzania Tanzania!!
    Nakupenda kwa moyo woote!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2013

    hao wasichana ni wa kiganda ? sura zao zinaonekana nature sana hakuna mkorogo,

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2013

    Sasa hizi ndizo tour za mastaa wetu
    makamuzi yao ni kwa waganda,wabongo na wakenya

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 16, 2013

    Mdau wa 2 juu sura ni nature hakuna Mkorogo , hao ni Mademu wa Ki-Uganda waliopo California USA.

    Mkorogo hauna dili kabisa,IMEBAKIA KWA AKINA DADA ZETU WA KIBONGO-KI TANZANIA KAZI NI MIKOROGO NA MANYOYA YA FARASI VIHCWANI HUKU MCHINA AKISHIKA KASI HADI KWENYE MAKALIO KUCHA NA KOPE !

    Wasichana wa Kitanzania nani ALIWADANGANYA ya kuwa Uzuri ni mpaka uwe umepaka Mkorogo?

    Wasichana wa Kitanzania nani aliwaambia na KUWADANGANYA ya kuwa Manyoya ya Farasi vichwani ndio Urembo?

    BE NATURAL, BE AS YOU ARE, BE REAL!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...