Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishna wa Polisi,Suleiman Kova (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania waishio jijini Houston,Marekani mara baada ya kupata futari ya pamoja.Kamanda Kova yupo nchini Marekani kwa ziara ya kikazi.Kushoto ni Ankal Khamsini.Kamanda Kova amewahamasisha Watanzania hao na kuwapa changamoto kubwa sana na kuwataka kuwa karibu na nyumbani wakati wowote wata pojiskia.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishna wa Polisi,Suleiman Kova akipata futari ya pamoja na wenyeji wake,Ankal Khamsin pamoja na Bw Ali Mjungu 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...