Muwakilishi wa Kampuni mpya ya Road to Wellness inayotoa fursa kwa watu mbali mbali juu ya Afya zao,Beatrice Owen (kulia) akitoa maelezo ya namna ya kuweza kupata fursa hiyo kwa mmoja wa wateja walioweza kuwatembelea katika banda lao namba 63 Jengo la Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Maonyesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa,yanayoendelea jijini Dar es Salaam.Kampuni hiyo ambayo ni changa kabisa yenye maskani yake Mwenge karibu na Stendi ya Daladala Mkabala na Tamal Hotel,imejitokeza kwenye Viwanja vya Sabababa ili kuweza kuwapatia watu mbali mbali fursa ya maswala ya afya.unaweza wasiliana nao kwa Namba hizi 0654 083977 au Tembelea kwenye Banda lao ili uwezo kufahamu zaidi na zaidi mambo ya Afya.
Mmoja wa Wafanyakazi wa Kampuni hiyo toka nchini Uganda,Murshid  Galiwango akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja wao.
Mwanadada Catherine Melkior wa Kampuni ya Road to Wellness (kulia) akielezea jambo kwa wateja wao waliowatembelea kwenye banda lao.
Wadau wa Kampuni ya Road to Wellness
Bango lao.

kwa wale watakaopenda kupata ripoti za namna hii inayotolewa kwa njia ya kidigitali,inapatikana kwa gharama ndogo kabisa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...