Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Baraka Kunisaga (DC. Nyamagana) akimpokea Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa (MB-Monduli) alipowasili leo uwanja wa ndege wa Mwanza.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza (RAS) Doroth Mwanyika akisalimiana na Mhe.Lowassa baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Mwanza anayefuata ni Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mery Tesha .
Waziri Mkuu mstaafu Mhe.Lowassa akisalimiana na Shekh Ferej ambaye aliongoza mashekh na viongozi wa BAKWATA Mkoa wa Mwanza uwanjani hapo kumpokea.
Katibu wa BAKWATA Mkoa wa Mwanza Shekh Mohamed Bara akisalimiana na Waziri Mkuu msataafu Mhe. Edward lowassa uwajna wa ndege leo.
Kwa  habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2013

    Mheshimiwa Lowassa hongera kwa juhudi zako za kuwafanya watanzania kuanza kujitegemea wenyewe bila kuomba nje.

    Harambee unazofanya ni dalili kwamba watanzania wenyewe wakiamua wanaweza kufanya mambo yao wenyewe bila kuomba omba nje.

    USHAURI:

    1. Tunaweza sasa kubadili mwelekeo kwa kuchangia makanisa na misikiti na kuchangia elimu ya juu kwa watoto wetu. Wilaya au tarafa inaweza kukusanya watoto wenye vipaji maalumu na ikaitishwa harambee kuwaachangia ili waweze kwenda kujiendeleza katika vyuo maarufu duniani kama havard etc.

    2. Lowassa ameshaonesha njia sasa watu wengine maarufu wanaweza pia kusaidiana naye katika harambee hizi. Hii itaondoa hisia zilizojengeka kwamba mheshimiwa Lowasssa anafanya mambo haya kwa ajili ya kutafuta madaraka ya kisiasa ( uraisi)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...