Mume wa Marehemu Dkt Judith Kahama Maro, Profesa Maro, akiweka shada la maua juu ya kaburi   wakati wa mazishi ya mkewe yaliyofanyika Alhamisi jioni katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam. Marehemu, aliyekuwa mganga mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alifariki dunia Julai 6, mwaka huu
 Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua juu ya kaburi la mama yao
 Wazazi wa marehemu, Sir George Kahama na Mama Janeth Kahama wakiweka shada la maua kaburini
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua
 Mama Anna Mkapa akiweka shada la maua kaburini
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mhe Said Meck Sadik, akitoa heshima zake baada ya kuweka shada la maua. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...