Mdau Sara Ali Aboud akitembea kwa madaha kwenye stage mara baada ya kulamba Nondoz yake ya BSc in Mathematics (Financial IT ),katika Chuo Kikuu cha Brunell University nchini Uingereza.
Mdau wa Globu ya Jamii,Sara Aboud (kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na mama yake mzazi Bi Mariam Kilumanga (Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake UK -TAWA) na mdogo wake Samie Aboud wote wakiwa ni wenye furaha sana baada ya Sara kulamba Nondozz yake hiyo.
Mdau Sara Ali akiwa katika pozi na anti yake,Bi Mariam Mungula a.k.a Katibu CCM UK / TAWA UK .
Siku isingekamilika iwapo Mdau Sara Ali asingepata picha Ukumbusho na Mkuu wa Chuo "Vice Chancellor " wa Brunell University.

GLOBU YA JAMII INAMPA HONGERA SANA MDAU SARA ABOUD KWA KUKAMILISHA MASOMO YAKE HAYO, NA HONGERA SANA KWA MZAZI WA SARA KWA KAZI NZURI YA KUMSOMESHA BINTI ILI AJE KUWA MSAADA MKUBWA KWA TAIFA LETU HAPO  BAADAE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hongera sana Sara, we are very proud of you. Well done.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2013

    sara vipi ushapata mume au kuposwa?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2013

    Very sharp mind, Financial Mathematics way to go Sara.
    Hongera sana tena sana
    Alexander
    Hope will meet one day

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2013

    Sara you are very beautiful and the brains to go with it.congratulations... Hope we meet someday.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...